Mohamed Ali Alabbar

Alabbar katika foramu ya Kiuchumi ya Dunia ya mwaka 2007

Mohammed bin Amer Al Abbar (pia: Amer Kiarabu: محمد بن علي العبار) ni raia mashuhuri wa Falme za Kiarabu, kutoka Emirate ya Dubai. Yeye ni msaidizi mkuu wa mtawala Dubai na Makamu wa Rais / Waziri Mkuu wa UAE, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum. Alabbar anatumikia kama Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Uchumi ya Dubai Archived 23 Juni 2004 at the Wayback Machine., na Mwenyekiti wa Emaar moja ya makampuni kubwa zaidi duniani ya kuuza manyumba na ploti. Alabbar pia ni mwanachama wa Baraza la Watendaji ya Dubai.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy